KITUO CHA BIASHARA DUNIANI (WTC);
Kituo cha Biashara duniani WTC ni moja ya kituo kikubwa cha Kibiashara duniani chenye makao yake makuu Lower Manhattan mjini New York ; ujenzi wake ni wa jumla ya ghorofa saba ambapo limejengwa mwaka 1985.
Mnamo Septemba 11, 2001 Kituo hicho cha Kibiashara kilifanyiwa mashambulizi ya kigaidi kwa kuvamiwa na kulipuliwa baada ya ndege tatu kugonga jengo hilo la Pentagon lililopo mjini Arlington, Virginia, nje kidogo ya Washington.
Kituo hicho kiliungua kwa muda dakika 56 Mnara wa Kusini na kufuatiwa na nusu saaa nyingine baadaye kulipuliwa kwa mnara wa Kaskazini Tukio hilo lilisababisha vifo vya watu kadhaa
No comments:
Post a Comment